Kwa oda zote za chakula kupitia App ya duka.direct
Food delivery:
duka.direct ni app ya simu kwa ajili ya manunuzi mtandaoni inayokuwa kwa kasi zaidi nchini Tanzania. App hii Inawaleta wanunuzi na wauzaji pamoja kupitia bidhaa mbali mbali muhimu, chakula, madawa n.k. duka.direct inakuhakikisha bei za chini kabisa na inatoa mchakato kamili kuanzia kuagiza mpaka unapoletewa oda yako, mchakato huu ukisindikizwa na malipo kwa njia mbalimbali na uwazi katika hatua zote.
Kwanini duka.direct?
Kila Kitu Kipo | Bei chee zaidi! | Free delivery | Lipa upendavyo | Ofa! Ofa! Ofa! ![]()
(tazama picha kwa maelezo zaidi)
Mawasiliano:
Email: helpdesk@duka.direct
Simu: +255 659 430 043
Viva Towers, Barabara ya Ali Hassan Mwinyi, Dar es Salaam
Follow us on our social accounts:



Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.