
Awareness: Tonight at Mnazi Mmoja Grounds
Awareness:
Tonight 27th August 2022, the climax of the ‘Mafunzo ya Imam Husain’ awareness program ends with Hussain Day.
The chief guest will be the Mufti of Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Speakers are as follows:
Sheikh Murtadha Alidina
Sheikh Hamed Jalala
Sheikh Musabah Mapingo
This event has been organised by the Khoja Shia Ithna-Asheri Jamaat, Dar es Salaam for the purpose of spreading awareness and showcasing some of the work being done by members in upholding the lessons taught by Imam Hussain

Jumuiya Ya Waislamu, Shia Ithanasheri wanakuletea maonyesho makubwa inayoitwa “Mafunzo Ya Imam Hussain”
Tutakua na Kambi ya Afya na Kambi ya Macho BURE.
Huduma hiyo itatolewa siku tatu mfululizo, yaani kuanzia Alhamisi tarehe 25 hadi Jumamosi tarehe 27, Agosti 2022.
Huduma itakuwa ikianza saa 3 asubuhi hadi saa 11 jioni Kila siku!
Maonyesho yatakuwa katika kiwanja ya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Njoo na familia nzima, kwani kuna sehemu maalumu ya wakinamama na Watoto.
Pia pata kujua Wa Shia Wamejifunza nini kutoka Nabi Takatifu Mtume Muhammad(s), pamoja na Madili Meema kutoka Mjuku wake ; Imam Hussain (as)
Imeletewa na Jumuiya ya Waislamu, Khoja Shia Ithanasheri Jamaat Dar es Salaam.

More in this Category
(see poster for more details)
[tg_searchboxes options='{“hotel_city”:””,”size”:”160×600″,”alignment”:”aligncenter”}’]
Follow us on our social accounts:
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.